regions
Uvira
Media
Sababu za ugonjwa wa kitshwa
Namna gani mtu ana fikiya ku geuka mgonjwa wa kitshwa? Namna gani wagonjwa wa kitshwa wana tunzwa?
Haki za wagonjwa wa kitshwa
Katika jamii ya Kongo ya Kidemocrasia, kwa upekee katika mashariki mwa Kongo, wagojwa wa kitshwa wanaonekaka siku kwa siku kwenyi ma barabara. Kwa nini watu wana fikiya ku gonjwa kitshwa? namna gani hii magonjwa yanaweza tunzwa?
Ku orozwa kwa watoto kwenyi serikali
Kila mtoto ana haki ya ku orozeshwa kwenyi serkali. jambo hilo lime zarauliwa na wazazi wengi na kwa wengine, halijajulikana bado ijapokuwa ku orozwa ka mtoto mbele ya serikale ni jambo la muhimu kwa kujulikana kiraiya
(Français) Allégeances incertaines de l’armée de la RDC suite aux élections
(Français) D’anciens groupes armés intégrés à la force nationale continuent de suivre leurs propres agendas, menaçant les espoirs d’une stabilité à long terme.
(Français) Retour sur les élections en RDC
(Français) Près de deux mois après les élections présidentielles et législatives du 28 novembre 2011, l’actualité en République Démocratique du Congo est toujours dominée par la crise électorale. Retour sur les points marquants du processus électoral.
Polisi na jeshi, tofauti gani?
Kazi ya jeshi na polisi ina fananishwa na raiya mashariki mwa jamuhuri ya kidemocratia ya Kongo. Kipindi Face a la justice kina fasiriya ni nini kazi ya kila mmoja na kina fanya utafiti ku husu kutumika kinyume ya mamlaka ya wamoja na wengine.
Kumaliza ubaguzi zidi ya zeruzeru (kasa) Kumaliza ubaguzi zidi ya zeruzeru (kasa)
Mashariki mwa Kongo RDC pia katika inchi nyingi za kiafrika, zeruzeru
ama kasa wanabaguliwa sababu ya rangi ya ngozi ya mwili yao. Ugonjwa huo yatokana na seli za mwili. kipindi Face à la Justice yapiganisha mawazo mabaya kuwa ni mashetani.
(Français) SMS bannis sur l’ensemble du territoire, une mesure de sécurité?
(Français) Impossible d’envoyer ou de recevoir un texto en RDC. Dans le contexte des élections, les autorités ont fait suspendre les services de messages courts par téléphone. Sécurité ou censure ?
(Français) Viol de vies
(Français) Les violences sexuelles ne se limitent pas aux zones en conflit. En République Démocratique du Congo (RDC), elles sévissent aussi dans les zones de post–conflit.
Uchaguzi wa 2011, upigaji kura na yanayo fata
Wapashaji habari wa Uhaki News wameripoti kuhusu uchaguzi wa tarehe 28 novemba 2011. Waandishi hao, wamegusia vikwazo waliyo gundua pia wanaarifu mambo ya baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi ndani ya kipindi hiki Face a la Justice.